Gharama


Usajili wa Cheti cha Ndoa:

Bei : 20,000/= (Tzs)

Buku La Ndoa:

Bei : 125,000/= (Tzs)

Cheti cha kutokuwa na Ndoa:

Bei : 20,000/= (Tzs)

Cheti kilichopotea au kuharibika:

Bei : 20,000/= (Tzs)

Kurekebisha herufi:

Bei : 20,000/= (Tzs)

Marekebisho:

Bei : 20,000/= (Tzs)

Ndoa


Ndoa ni utaratibu wa kisheria ambao mwanamke na mwanamme kwa ridhaa zao kwa kuamua kukaa pamoja katika maisha.

Utaratibu Ndani YA wakati:
  • Tangazo la ndoa (notification)
  • Kuwasilisha vivuli vya Vitambulisho vya Mume na Mke, kitambulisho kinaweza kuwa:
    • Mzanzibari Mkaazi
    • Mtanzania (NIDA)
    • Leseni ya Udereva
    • Hati ya Kusafiria
    • Kitambulisho cha Mpiga Kura
  • Vitambulisho vya Mashahidi wawili
  • Kwa aliepewa idhini ya kuoa anatakiwa aende na nakala ya hati ya uwakala (power of attoney)
Utaratibu Nje Ya Wakati:
  • Tangazo la ndoa (notification)
  • Kwa Wazanzibari wakaazi ni vitambulisho vya Mzanzibari vya mke na mume au vyeti vya kuzaliwa au barua ya uthibitisho kutoka kwa sheha ambae ndoa imefungwa..
  • Kwa mkaazi asiyekua Mzanzibari aende na kitambulisho cha sehemu au nchi aliyotokea au barua kutoka kwa Mkuu wa Mkoa.
  • Kwa aliepewa idhini ya kuoa anatakiwa aende na nakala ya hati ya uwakala (power of attoney)