Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Naibu Mkurugenzi wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar akichangia katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma Zaidi- May 31, 2022
Wakala wa Usajili wa matukio ya Kijamii Zanzibar ni muungano wa Taasisi ya Afisi ya Vizazi na Vifo na Afisi ya Usajili na Kadi za Utambulisho Zanzibar. Afisi hii imeanzishwa kwa Sheria Namba 3 ya 2018, ina majukumu ya kusajili Matukio ya kijamii na kutoa vyeti vya Vizazi, Vifo, Ndoa, Talaka na Vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi
Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar
Tukishiriki katika Matukio mbali mbali
Naibu Mkurugenzi wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar akichangia katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma ZaidiMwanasheria wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar akiwaslisha maada katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma ZaidiMwanasheria wa Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar akiwaslisha maada katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma ZaidiMkurugenzi Mtendaji wa ZCSRA akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma ZaidiWajumbe waKamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa wakipata mafunzo katika Hafla ya mafunzo ya Usajili wa matukio ya Kijamii.
Soma Zaidi