Gharama
-
Ufatilia kumbukumbu (Search) :
Bei : 2,000/= (Tzs)
-
Usaji cheti cha Talaka:
Bei : 20,000/= (Tzs)
-
Buku la Talaka:
Bei : 125,000/= (Tzs)
-
Kubadilisha taarifa:
Bei : 20,000/= (Tzs)
Utaratibu wa Kusajili Talaka:
- Tangazo la Talaka (notification)
- Kuwasilisha vivuli vya Vitambulisho vya Mume au Mke, kitambulisho kinaweza kuwa:
- Mzanzibari Mkaazi
- Mtanzania (NIDA)
- Leseni ya Udereva
- Hati ya Kusafiria
- Kitambulisho cha Mpiga Kura
- Vitambulisho vya Mashahidi wawili